Bondia Floyd Mayweather akizuiwa asiendelee kumshambulia mpinzani wake, Tenshin Nasukawa usiku wa kuamkia leo kwenye pambano la maoyesho mjini Tokyo, Japan. Mayweather alimuangusha mara tatu Nasukawa, ambaye ni mcheza kick boxing ndani ya dakika mbili za raundi ya kwanza na kushinda kwa Knockout (KO) hivyo kuingiza kiasi cha dola za Kimarekani Milioni 9 kwa pambano ambalo ilitakiwa liwe la raundi tatu. Floyd Mayweather, mwenye umri wa miaka 41 alistaafu ngumi baada ya kumpiga Conor McGregor mwaka 2017 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trump open to shifting US troops from Germany to Poland
-
Will US troops withdrawn from Germany be moved to Poland? When asked, US
President Donald Trump said Warsaw favours the idea, and it is
feasible.View on eu...
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment