Luis Suarez akikimbia kushangilia baada ya mpira alioupiga kwa kichwa kuunganishiwa nyavuni na Luke Shaw (hayupo pichani) aliyejifunga dakika ya 12 kuipatia Barcelona bao pekee katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Manchester United usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Timu hizo zitarudiana Aprili 16 Uwanja wa Camp Nou, Barcelona PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bristol 42-24 Leicester: Louis Rees-Zammit scores and Tom Jordan impresses
on league debuts but Bears facing up to major injury crisis
-
ALEX BYWATER AT ASHTON GATE: Louis Rees-Zammit and Tom Jordan marked their
Bristol league debuts with a try and a stand-out display respectively amid
a Bea...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment