Lionel Messi wa Barcelona akiwa ameumia uso baada ya kugongana na Chris Smalling wa Manchester United kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kipindi cha kwanza usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford. Barcelona ilishinda 1-0 bao la kujifunga la Luke Shaw dakika ya 12 na timu hizo zitarudiana Aprili 16 Uwanja wa Camp Nou, Barcelona PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bristol 42-24 Leicester: Louis Rees-Zammit scores and Tom Jordan impresses
on league debuts but Bears facing up to major injury crisis
-
ALEX BYWATER AT ASHTON GATE: Louis Rees-Zammit and Tom Jordan marked their
Bristol league debuts with a try and a stand-out display respectively amid
a Bea...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment