Cristiano Ronaldo akishangilia kwa staili yake maarufu baada ya kuifungia bao la kuongoza Juventus dakika ya 45 kabla ya David Neres kuisawazishia Ajax dakika ya 46 timu hizo zikitoka sare ya 1-1 usiku wa jana kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Johan Cruijff Arena mjini Amsterdam na sasa zitarudiana Aprili 16 Uwanja wa Allianz mjini Torino PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lacking depth, little threat - Man Utd will not find replacing Casemiro easy
-
Manchester United have failed to win any of the four Premier League games
Casemiro has failed to start this season, leaving Michael Carrick to ponder
how t...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment