Cristiano Ronaldo akishangilia kwa staili yake maarufu baada ya kuifungia bao la kuongoza Juventus dakika ya 45 kabla ya David Neres kuisawazishia Ajax dakika ya 46 timu hizo zikitoka sare ya 1-1 usiku wa jana kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Johan Cruijff Arena mjini Amsterdam na sasa zitarudiana Aprili 16 Uwanja wa Allianz mjini Torino PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Is Davante Adams playing today? Why Rams WR is off to quiet start vs. Colts
-
Los Angeles Rams wide receiver Davante Adams has been quiet early on in the
Week 4 game against the Indianapolis Colts. Here's a closer look at what
might ...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment