Roberto Firmino (kushoto) na Naby Keita wakishangilia baada ya wote kufunga katika ushindi wa 2-0 wa Liverpool dhidi ya FC Porto kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Anfield usiku wa jana. Keita alifunga la kwanza dakika ya tano na Firmino la pili dakika ya 26 na timu hizo zitarudiana Aprili 17 Uwanja wa Do Dragao mjini Porto PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Moment Rory McIlroy REFUSES to play amid vile slurs about his wife Erica
and his love life - as new footage shows classless US Ryder Cup fans
practicing 'f*** you Rory' chant before play
-
The Northern Irishman was lining up for a putt during his and Shane Lowry's
Saturday afternoon fourballs victory over Justin Thomas and Cameron Young
when ...
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment