Son Heung-min akinyoosha kidole kwenye beji ya Tottenham Hotspur kwa furaha baada ya kuifungia bao pekee dakika ya 78 ikiilaza 1-0 Manchester City katika Robo Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika usiku wa jana Uwanja wa Tottenham Hotspur mjini London. Sergio Aguero alikosa penalti kwenye mchezo huo baada ya shuti lake kupanguliwa na kipa Hugo Lloris kufuatia Danny Rose kuunawa mpira uliopigwa na Raheem Sterling na timu hizo zitarudiana Aprili 17 Uwanja wa Etihad mjini Manchester PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brisbane Lions skipper's fitting Bailey Smith sledge following on-field
confrontation
-
Lions star Harris Andrews delivered a blunt sledge about his confrontation
with Bailey Smith during Brisbane's Grand Final victory at the MCG.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment