Kipa Mspaniola, Adrian San Miguel del Castillo akipangua mkwaju wa penalti wa Tammy Abraham kuiwezesha Liverpool kutwaa taji la Super Cup la UEFA baada ya kuifunga Chelsea kwa penalti 5-4 kufuatia sare ya 2-2 ndani ya dakika 120 usiku wa jana Uwanja Vodafone Arena mjini İstanbul, Uturuki. Adrian ni kipa wa pili, ambaye jana alianza kwa sababu kipa wa kwanza, Alisson ni majeruhi baada ya kuumia kwenye mechi dhidi ya Norwich Ijumaa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Starmer turns to Gordon Brown to save faltering premiership
-
Sir Keir Starmer has brought Labour heavyweights Gordon Brown and Harriet
Harman back into government in an attempt to shore up his premiership.
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment