Kipa Mspaniola, Adrian San Miguel del Castillo akipangua mkwaju wa penalti wa Tammy Abraham kuiwezesha Liverpool kutwaa taji la Super Cup la UEFA baada ya kuifunga Chelsea kwa penalti 5-4 kufuatia sare ya 2-2 ndani ya dakika 120 usiku wa jana Uwanja Vodafone Arena mjini İstanbul, Uturuki. Adrian ni kipa wa pili, ambaye jana alianza kwa sababu kipa wa kwanza, Alisson ni majeruhi baada ya kuumia kwenye mechi dhidi ya Norwich Ijumaa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Huge development in case of footy star who claimed he was raped by a female
prison officer
-
The former NRL star launched the lawsuit against the state of NSW back in
July.
56 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment