Kipa Mspaniola, Adrian San Miguel del Castillo akipangua mkwaju wa penalti wa Tammy Abraham kuiwezesha Liverpool kutwaa taji la Super Cup la UEFA baada ya kuifunga Chelsea kwa penalti 5-4 kufuatia sare ya 2-2 ndani ya dakika 120 usiku wa jana Uwanja Vodafone Arena mjini İstanbul, Uturuki. Adrian ni kipa wa pili, ambaye jana alianza kwa sababu kipa wa kwanza, Alisson ni majeruhi baada ya kuumia kwenye mechi dhidi ya Norwich Ijumaa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL star Deebo Samuel left fuming after interviewer spills secret live on
air in painful exchange
-
NFL Network's Garafolo was left red-faced at the end of an interview with
Samuel on 'Inside Training Camp Live' earlier this week. 'Alright, edit
that part...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment