Mshambuliaji mkongwe, Aritz Aduriz akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Athletic Bilbao dakika ya 89 kufuatia kutokea benchi dakika ya 88 kuchukua nafasi ya Williams na kuiwezesha timu yake kuichapa 1-0 Barcelona katika mchezo wa ufunguzi wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa San Mames Barria mjini Bilbao PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ex-Washington cheerleader blasts fans who booed Trump at Commanders game:
'Don't know what's good for them'
-
Trump got a mixed reaction at Northwest Stadium in Landover, Maryland on
Sunday in what has been a difficult month for the President. He is facing
mounting...
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment