WACHEZAJI wa Yanga SC kutoka kulia Lawrence Mwalusako, mchezaji mwalikwa kutoka Simba, Deo Njohole ‘OCD’, Abubakar Salum ‘Sure Boy’, Ramadhani Kilambo na Wastara Baribari aliyeipa mgongo kamera wakati wa mapumziko kwenye mchezo wa kirafiki mwaka 1991 dhidi ya timu ya taifa ya Uganda Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru) mjini Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka 1-1, Njohole akiisawazishia Yanga baada ya The Cranes kutangulia kwa bao la Majid Musisi (sasa marehemu).
Stephen A. Smith's ESPN colleagues 'ordered to cut ties with gaming app
after he hyped controversial company'
-
ESPN reportedly ordered some of its on-air talent to cut ties with a
controversial online gaming app without asking the same of the network's
biggest star,...
50 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment