Sergio Aguero akiifungia Manchester City bao lake la pili dakika ya 55 baada ya kufunga lingine dakika ya 42 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Brighton & Hove Albion leo Uwanja wa Etihad kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya mabingwa hao watetezi yamefungwa na Kevin de Bruyne dakika ya pili na Bernardo Silva dakika ya 79 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy star Jack de Belin lashes out at sentence cop received for lying
during his rape trial
-
Jack de Belin and his co-accused Callan Sinclair had their charges dropped
after the juries in two trials could not reach a verdict.
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment