Sergio Aguero akiifungia Manchester City bao lake la pili dakika ya 55 baada ya kufunga lingine dakika ya 42 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Brighton & Hove Albion leo Uwanja wa Etihad kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya mabingwa hao watetezi yamefungwa na Kevin de Bruyne dakika ya pili na Bernardo Silva dakika ya 79 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nigeria hits 1.8m bpd oil output – NUPRC
-
From Adanna Nnamani, Abuja The Nigerian Upstream Petroleum Regulatory
Commission (NUPRC) has said that Nigeria’s crude oil production peaked at
1.8 milli...
3 minutes ago
0 comments:
Post a Comment