TAIFA STARS WALIVYOANZA KUJIFUA LEO BOKO VETERANI KUJIANDAA NA BURUNDI
Wachezaji wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars wakiwa Uwanja wa Boko Veterani kwa ajili ya mazoezi kujiandaa na mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Burundi wiki ijayo mjini Bujumbura
0 comments:
Post a Comment