Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la kwanza dakika ya 12 akimalizia krosi ya winga Gareth Bale katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Celta Vigo kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Abanca-Balaidos mjini Vigo. Mabao mengine ya Real Madrid yamefungwa na Toni Kroos dakika ya 61 na Lucas Vazquez dakika ya 80, wakati la kufutia machozi la Celta Vigo limefungwa na Iker Losada dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Huge development in case of footy star who claimed he was raped by a female
prison officer
-
The former NRL star launched the lawsuit against the state of NSW back in
July.
58 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment