Teemu Pukki akishangilia baada ya kupiga hat-trick kwa mabao yake ya dakika za 32, 63 na 75 katika ushindi wa Norwich City wa 3-1 dhidi ya Newcastle United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Carrow Road. Bao la Newcastle limefungwa na Jonjo Shelvey dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Huge development in case of footy star who claimed he was raped by a female
prison officer
-
The former NRL star launched the lawsuit against the state of NSW back in
July.
58 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment