Tammy Abraham akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika ya tatu na 68 katika ushindi wa 3-2 wa Chelsea dhidi ya Norwich kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Carrow Road huo ukiwa ni ushindi wa kwanza wa kocha Frank Lampard tangu aanze kazi. Bao lingine la Chelsea limefungwa na Mason Mount dakika ya 17, wakati mabao ya Norwich yamefungwa na Todd Cantwell dakika ya sita na Teemu Pukki dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL star Deebo Samuel left fuming after interviewer spills secret live on
air in painful exchange
-
NFL Network's Garafolo was left red-faced at the end of an interview with
Samuel on 'Inside Training Camp Live' earlier this week. 'Alright, edit
that part...
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment