Tammy Abraham akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika ya tatu na 68 katika ushindi wa 3-2 wa Chelsea dhidi ya Norwich kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Carrow Road huo ukiwa ni ushindi wa kwanza wa kocha Frank Lampard tangu aanze kazi. Bao lingine la Chelsea limefungwa na Mason Mount dakika ya 17, wakati mabao ya Norwich yamefungwa na Todd Cantwell dakika ya sita na Teemu Pukki dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Furious Klay Thompson snaps back at 'disgusting and disturbing' ex-NBA
stars over vile Megan Thee Stallion jibe
-
Amid his struggles, Williams suggested Thompson's romance with the American
rapper could explain why his form has dipped this season while using an
offensi...
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment