Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar akiwasabahi wachezaji wa Yanga SC alipowatembelea mazoezini mjini Gaborone, Botswana. Simai ambaye pia ni Mwakilishi wa jimbo la Tunguu, Zanzibar upo Botswana kwa ziara ya kikazi wakati Yanga kesho itamenyana na wenyeji, Township Rollers katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika.
Stokes takes six wickets in England Ashes warm-up
-
England captain Ben Stokes takes six wickets on the opening day of his
side's solitary warm-up match before the Ashes begins next week.
15 minutes ago




.png)
0 comments:
Post a Comment