Nyota wa Barcelona, Luis Suarez na Lionel Messi wakipongezana baada ya wote kufunga katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Eibar kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Uwanja wa Manispaa ya Ipurua. Messi alifunga dakika ya 58 na Suarez dakika ya 66 baada ya Antoine Griezmann kufunga la kwanza dakika ya 13 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Punters denied fitting finale as cricket shoots itself in the foot - NASSER
HUSSAIN
-
NASSER HUSSAIN: I still can't shake the feeling that cricket shot itself in
the foot by playing by the rules. In situations like that, I just wish
there wa...
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment