Son Heung-min akifurahia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur mabao mawili dakika za 16 na 44 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Red Star Belgrade kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Tottenham Hotspur mjini London. Mabao mengine ya Spours yalifungwa na Harry Kane mawili pia dakika ya tisa na 72 na Erik Lamela dakika ya 57 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
See the stunning moment AFL grand final performer pleads for help in the
middle of his song as he's hit by horror technical stuff-up at the MCG
-
Aussie music legend Mike Brady has endured a nightmare moment on stage at
the AFL grand final, with soundtrack issues flattening his performance of
Up Ther...
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment