MAZOEZI YA MWISHO TAIFA STARS LEO KABLA YA KUIVAA SUDAN KESHO KUWANIA TIKETI YA CHAN MWAKANI
Wachezaji wa Tanzania wakifanya mazoezi leo Uwanja wa El-Merreikh mjini Khartoum kujiandaa na mchezo wa marudiano dhidi ya wenyeji, Sudan kesho Raundi ya mwisho ya mchujo wa kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) mwakani nchini Sudan
Kipa Metacha Mnata akiwa mazoezini leo Uwanja wa El-Merreikh mjini Khartoum. Taifa Stars ilifungwa 1-0 mechi ya kwanza Dar es Salaam
Kipa mkongwe, Juma Kaseja akiwaa mazoezini Uwanja wa El-Merreikh mjini Khartoum
SGF, lawmaker back president’s second term
-
From Godwin Tsa, Abuja The Secretary to the Government of the Federation
(SGF) Senator George Akume, has called on the people state to support
President ...
0 comments:
Post a Comment