Mshambuliaji Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Barcelona dakika ya tatu katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Slavia Prague kwenye mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Sinobo mjini Prague. Bao lingine la Barcelona lilifungwa na Peter Olayinka aliyejifunga dakika ya 57, wakati la Slavia Prague lilifungwa na Jan Boril dakika ya 50 na Messi sasa amefikisha mabao 113 ya kufunga kwenye Ligi ya Mabingwa sasa akimfuatia Cristiano Ronaldo anayeongoza kwa mabao yake 127 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Joey Barton announces he's QUITTING social media to become 'constructive
and responsible' after 'mistakes', as he faces sentencing over 'grossly
offensive' online trolling
-
Joey Barton has announced he is stepping away from social media days after
being found guilty of six counts of sending 'grossly offensive' posts on X.
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment