Angel di Maria akimtungua Walter Benitez kuifungia Paris Saint Germain bao la kwanza dakika ya 15 kabla ya kufunga la pili dakika ya 21 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Nice kwenye mchezo wa Ligi ya Ufaransa, Ligue 1 usiku wa jana Uwanja wa Allianz Riviera mjini Nice. Mabao mengine ya PSG yalifungwa na Kylian Mbappe dakika ya 88 na Mauro Icardi dakika ya 90 na ushei, wakati la Nice lilifungwa na Ignatius Ganago dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
CCTV appeal after man stabbed in suspected robbery
-
A 40-year-old man was seriously injured and taken to hospital following the
attack on Thursday night.
23 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment