Cristiano Ronaldo akiifungia Ureno bao la kufutia machozi kwa penalti dakika ya 72 baada ya Stepanenko wa Ukraine kuunawa mpira kwenye mchezo wa Kundi B kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa NSK Olimpiki mjini Kiev, hilo likiwa nao lake la 700 tangu aanze soka. Ukraine ilishinda 2-0, mabao yake yakifungwa na Roman Yaremchuk dakika ya sita na Andriy Yarmolenko dakika ya 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bruno Fernandes and Iliman Ndiaye come to blows in fiery clash as Everton
hold Man United to 2-2 draw in Atlanta
-
The flashpoint occurred just before Everton's second equaliser. Fernandes
slid in from behind on Ndiaye near the halfway line, prompting an angry
reaction ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment