Kiungo Mmarekani, Christian Pulisic akishangilia baada ya kufunga mabao matatu dakika za 21, 45 na 56 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji, Burnley leo Uwanja wa Turf Moor. Bao lingine la The Blues limefungwa na Willian 58, wakati ya Burnley yamefungwa na Jay Rodriguez dakika ya 86 na Dwight McNeil dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brock Lesnar makes stunning return to WWE after two years in exile to
confront John Cena at SummerSlam
-
After two years in exile due to his alleged involvement in the Vince
McMahon lawsuit, Brock Lesnar returned to WWE programming at SummerSlam to
confront Jo...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment