Mshambuliaji Muargentina, Paulo Dybala akishangilia baada ya kuifungia mabao yote mawili Juventus dakika za 77 na 79 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Lokomotiv Moscow kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Bao la Lokomotiv Moscow lilifungwa na Aleksey Miranchuk dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Three things we learned from Chelsea draw as tactical tweak unlocks new
blueprint
-
A juggling act on the wing produced a far better team performance against
Liverpool
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment