Mshambuliaji Muargentina, Paulo Dybala akishangilia baada ya kuifungia mabao yote mawili Juventus dakika za 77 na 79 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Lokomotiv Moscow kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Bao la Lokomotiv Moscow lilifungwa na Aleksey Miranchuk dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Napoli held by Casertana on McTominay’s return 🔙
-
Everything happened in the first 45 minutes between Napoli and Casertana.
The fourth pre-season friendly of the azzurri ended in a draw: 1-1, with
goals fr...
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment