Marcus Rashford akiruka kwa ufundi kumalizia krosi nzuri ya Dan James kuifungia bao la kuongoza Manchester United dakika ya 36 kabla ya Adam Lallana kuisawazishia Liverpool dakika ya 85 timu hizo zikitoa sare ya 1-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford leo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Joey Barton announces he's QUITTING social media to become 'constructive
and responsible' after 'mistakes', as he faces sentencing over 'grossly
offensive' online trolling
-
Joey Barton has announced he is stepping away from social media days after
being found guilty of six counts of sending 'grossly offensive' posts on X.
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment