Wachezaji wa Uturuki wakipiga saluti kushangilia bao la kusawazisha lililofungwa na Kaan Ayhan dakika ya 81 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Ufaransa waliotangulia kwa bao la Olivier Giroud dakika ya 76 kwenye mchezo wa Kundi H kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Stade de France mjini Paris PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool 1-1 Chelsea - PLAYER RATINGS: Which Blues defender 'impressed' in
a brand new role? Who took 41 MINUTES to make his first touch? And which
22-year-old star must start showing more?
-
Liverpool and Chelsea played out a 1-1 draw at Anfield on Saturday. Daily
Mail Sport's KIERAN GILL runs the rule over performances in both red and
blue at ...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment