Mshambuliaji Mbelgiji, Michy Batshuayi akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao pekee Chelsea dakika ya 86 ikiwalaza wenyeji, Ajax 1-0 katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Johan Cruijff Arena mjini Amsterdam usiku wa jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bruno Fernandes and Iliman Ndiaye come to blows in fiery clash as Everton
hold Man United to 2-2 draw in Atlanta
-
The flashpoint occurred just before Everton's second equaliser. Fernandes
slid in from behind on Ndiaye near the halfway line, prompting an angry
reaction ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment