Nicolas Pepe usiku wa jana amefunga mabao mawili kwa mashuti ya mpira wa adhabu dakika ya 80 na 90 na ushei na kuiwezesha Arsenal kutoka nyuma na kushinda 3-2 dhidi ya Vitoria Guimaraes kwenye mchezo wa Kundi F UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Emirates mjini London. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na Gabriel Martinelli dakika ya 32, wakati ya Vitoria Guimaraes yalifungwa na Marcus Edwards dakika ya nane na Bruno Duarte dakika ya 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Joey Barton announces he's QUITTING social media to become 'constructive
and responsible' after 'mistakes', as he faces sentencing over 'grossly
offensive' online trolling
-
Joey Barton has announced he is stepping away from social media days after
being found guilty of six counts of sending 'grossly offensive' posts on X.
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment