Lionel Messi akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 34 na 75 katika ushindi wa 5-1 wa Barcelona dhidi ya Real Valladolid usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Clement Lenglet dakika ya pili, Arturo Vidal dakika ya 29 na Luis Suarez dakika ya 77, wakati la Real lilifungwa na Kiko Olivas dakika ya 15 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Joey Barton announces he's QUITTING social media to become 'constructive
and responsible' after 'mistakes', as he faces sentencing over 'grossly
offensive' online trolling
-
Joey Barton has announced he is stepping away from social media days after
being found guilty of six counts of sending 'grossly offensive' posts on X.
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment