Lionel Messi akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 34 na 75 katika ushindi wa 5-1 wa Barcelona dhidi ya Real Valladolid usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Clement Lenglet dakika ya pili, Arturo Vidal dakika ya 29 na Luis Suarez dakika ya 77, wakati la Real lilifungwa na Kiko Olivas dakika ya 15 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
See the stunning moment AFL grand final performer pleads for help in the
middle of his song as he's hit by horror technical stuff-up at the MCG
-
Aussie music legend Mike Brady has endured a nightmare moment on stage at
the AFL grand final, with soundtrack issues flattening his performance of
Up Ther...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment