Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Juventus kwa penalti dakika ya 90 na ushei baada ya yeye mwenyewe kuchezewa rafu na Antonio Sanabria kwenye boksi katika ushindi wa 2-1 dhidi ya 2-1 kwenye mchezo wa Serie A usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Juventus walitangulia kwa bao la Leonardo Bonucci dakika ya 36, kabla ya Christian Kouame kuisawazishia Genoa dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Google agrees to curb power use for AI data centers to ease strain on US
grid when demand surges
-
NEW YORK, August 4 (Reuters) -Google has signed agreements with two U.S.
electric utilities to reduce its AI data center power consumption during
times of ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment