Bruno Fernandes akiwa ameshika tuzo yake ya Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya England mwezi Juni baada ya kukabdhiwa leo. Hiyo inakuwa tuzo ya pili kwa Fernandes aliyesajiliwa kwa Pauni Milioni 68 Januari kutoka Sporting ya kwao, Ureno baada ya kushinda pia Februari kabla ya Ligi kusimama kwa sababu ya maambukizi ya virusi vya corona. Fernandes anakuwa mchezaji wa kwanza wa Manchester United kutwaa tuzo hiyo mara mbili mfululizo tangu Mreno mwenzake, Cristiano Ronaldo mwaka 2006 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool 1-1 Chelsea - PLAYER RATINGS: Which Blues defender 'impressed' in
a brand new role? Who took 41 MINUTES to make his first touch? And which
22-year-old star must start showing more?
-
Liverpool and Chelsea played out a 1-1 draw at Anfield on Saturday. Daily
Mail Sport's KIERAN GILL runs the rule over performances in both red and
blue at ...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment