Toby Alderweireld akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la ushindi dakika ya 81 ikiwalaza Arsenal 2-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Tottenham Hotspur Jijini London. Arsenal ilitangulia kwa bao la Alexandre Lacazette dakika ya 16, kabla ya Son Heung-Min kuisawazishia Tottenham dakika ya 19 na kwa ushindi huo, Spurs inafikisha pointi 52 na kupanda kwa nafasi moja hadi ya nane, sasa ikiwazidi The Gunners pointi mbili baada ya timu zote kucheza mechi 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Daniel Levy hits back at his critics in rare interview as Tottenham chief
sends warning to his club's fans and reveals why he sacked Ange Postecoglou
and hired Thomas Frank
-
Just 16 days after leading Spurs to a Europa League triumph Postecoglou was
sacked, and replaced by long-time Brentford boss Thomas Frank.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment