David McGoldrick akipongezwa na wachezaji wenzake wa Sheffield United baada ya kuifungia timu hiyo mabao mawili dakika za 18 na 77 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Chelsea, bao lingine likifungwa na Oli McBurnie dakika ya 33 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Bramall Lane. Kwa ushindi huo, Sheffield United inafikisha pointi 54 baada ya kucheza mechi 35 na kupanda kwa nafasi moja hadi ya sita, ikiwazidi pointi mbili Wolverhampton Wanderers, wakati Chelsea inabaki nafasi ya tatu na pointi zake 60 za mechi 35 sasa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ENGLAND VS INDIA SERIES RATINGS: Who was box office, who led from the front
and who will head to the Ashes with a question mark over his head?
-
India completed one of the most dramatic Test match victories ever seen on
British soil, squaring the series with a stunning six-run victory after
Chris Wo...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment