Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao pekee dakika ya 56 ikiwalaza Espanyol 1-0 katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou ambao kila limpoteza mchezaji mmoja kwa kadi nyekundu. Barcelona inafikiisha pointi 76 baada ya kucheza mechi 35, ingawa inabaki nafasi ya pili nyuma ya Real Madrid yenye pointi moja zaidi na mechi mkononi, wakati Espanyol inaendelea kushika mkia na pointi zake 24 za mechi 35 sasa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
  
How Athletic Club's unique player policy drives success
                      -
                    
BBC Sport visits Bilbao to explore Athletic Club's policy of fielding only 
Basque players, how this approach has brought success, and the importance 
of the...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment