Tammy Abraham akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Chelsea bao la tatu dakika ya 71 ikiwalza wenyeji, Crystal Palace 3-2 usiku wa jana katika mchezo wa Ligi ya England Uwanja wa Selhurst Park. Mabao mengine ya Chelsea yalifungwa na Olivier Giroud dakika ya sita na Christian Pulisic dakika ya 27, wakati ya Crystal Palace yalifungwa na Wilfried Zaha dakika ya 34 na Christian Benteke dakika ya 72. Kwa ushindi huo, Chelsea inafikisha pointi 60 baada ya kucheza mechi 34 na kupanda nafasi ya tatu, sasa ikizidiwa pointi sita na Manchester City wanaoshika nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pregnant wife of ex-NBA star who was attacked by a SHARK breaks her silence
as she shares horrifying details of 'the worst day of my life'
-
Eleonora revealed that she was forced to undergo surgery following the bite
but assured fans on social media that both her and her baby are OK.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment