Lionel Messi (kulia) akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Barcelona mabao mawili dakika za 34 na 75 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Deportivo Alaves usiku wa Jumapili kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Mendizorroza. Mabao mengine ya Barcelona yamefungwa na Ansu Fati dakika ya 24, Luis Suarez dakika ya 44 na Nelson Semedo dakika ya 57 na kwa ushindi huo, Barca inafikisha pointi baada ya kucheza mechi 38 na kuendelea kushika nafasi ya pili nyuma ya mabingwa tayari, Real Madrid wenye pointi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ENGLAND VS INDIA SERIES RATINGS: Who was box office, who led from the front
and who will head to the Ashes with a question mark over his head?
-
India completed one of the most dramatic Test match victories ever seen on
British soil, squaring the series with a stunning six-run victory after
Chris Wo...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment