Adrien Silva akishangilia baada ya kuifungia Ureno bao la ushindi dakika ya 104 kwa penalti, ikiilaza 2-1 Mexico katika mchezo wa kuwania nafasi ya tatu Kombe la FIFA la Mabara leo Uwanja wa Otkrytiye Arena, mjini Moskva. Luis Neto alianza kujifunga kuipatia Mexico bao la kuongoza dakika ya 54, kabla ya Pepe kuisawazishia Ureno dakika ya 90 na ushei na mchezo ukahamia kwenye dakika za nyongeza, ambako Silva akamaliza kazi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
From The Delivery Room to Playoff Hockey: Sean Walker's Wild Ride
-
A frantic sunrise flight and a private jet shuttle saw defenseman Sean
Walker rush from his daughter's birth straight into a series-clinching
overtime thri...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment