Eric Bailly (kulia) akikimbia kushangilia na Romelu Lukaku baada ya kuifungia Manchester United bao la kwanza dakika ya 45 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Swansea City jioni ya leo Uwanja wa Liberty mjini Swansea, Wales kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya United ya kocha Mreno, Jose Mourinho yamefungwa na Lukaku dakika ya 80, Paul Pogba dakika ya 82 na Anthony Martial dakika ya 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
This is the unbelievable moment an injured serpent eagle flew into a MOVING
car as the driver was filming a holiday vlog.
-
A vlogger filming in Tanay, Rizal, Philippines was stunned when an injured
serpent eagle flew through an open window and into his moving car during
his fir...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment