Alvaro Morata akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 15 na 54 katika ushindi wa 8-0 wa Hispania dhidi ya Liechtenstein kwenye mchezo wa ugenini wa Kundi G kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi uliofanyika Uwanja wa Rheinpark mjini Vaduz usiku wa jana. Mabao mengine ya Hispania yalifungwa na Sergio Ramos dakika ya tatu, Isco dakika ya 16, David Silva dakika ya 39, Iago Aspas dakika ya 51 na 63 na Maximilian Goppel aliyejifunga dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premier League LIVE: Latest score, team news and updates from the 2pm games
featuring Arsenal vs Crystal Palace and Aston Villa vs Man City
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Arsenal vs Crystal Palace and Aston Villa vs Manchester City
headline 2p...
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment