Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Tottenham Hotspur dakika za nne na 56 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Liverpool Uwanja wa Wembley, London kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Son Heung-Min dakika ya 12 na Dele Alli dakika ya 45 na ushei wakati bao pekee la Liverpool limefungwa na Mohamed Salah dakika ya 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ruben Amorim handed DOUBLE fitness boost - as Manchester United's injury
list drastically shortens
-
Ruben Amorim is confident Harry Maguire and Mason Mount will be fit to face
Brighton at Old Trafford on Saturday after sustaining knocks in Manchester
Unit...
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment