Philippe Coutinho wa Liverpool (kushoto) akipiga shuti mbele ya mchezaji wa Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa St James' Park timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Coutinho alianza kuifungia Liverpool dakika ya 29, kabla ya Joselu kuisawazishia Newcastle dakika ya 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: The heartbreaking reason AFL star is the only player in his team
who wears a black armband every game
-
Western Bulldogs midfielder Oskar Baker is the type of player every club
loves to have on their books - and now it can revealed why he wears a black
armban...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment