Philippe Coutinho wa Liverpool (kushoto) akipiga shuti mbele ya mchezaji wa Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa St James' Park timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Coutinho alianza kuifungia Liverpool dakika ya 29, kabla ya Joselu kuisawazishia Newcastle dakika ya 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Typhoon heads for Vietnam after 114 killed in the Philippines
-
Kalmaegi, one of the strongest typhoons this year, has gained strength as
it barrels toward central Vietnam.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment