Mshambuliaji wa Barcelona, Paco Alcacer (kushoto) akishangilia mbele ya beki Gerard Pique baada ya wote kufunga katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Real Murcia kwenye mchezo wa marudiano wa Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Alcacer alifunga dakika ya 16, Pique 56 na mabao mengine yalifungwa na Aleix Vidal dakika ya 60, Denis Suarez dakika ya 74 na Jose Arnaiz dakika ya 79. Ushindi unamaanisha Barca inatinga 16 Bora kwa ushindi wa jumla wa 8-0 baada ya kushinda 3-0 kwenye mechi ya kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ENGLAND VS INDIA SERIES RATINGS: Who was box office, who led from the front
and who will head to the Ashes with a question mark over his head?
-
India completed one of the most dramatic Test match victories ever seen on
British soil, squaring the series with a stunning six-run victory after
Chris Wo...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment