Beki wa Simba, George Owino (kushoto) akiondoka na mpira baada ya kumzidi maarifa mshambuliaji wa Simba, John Bocco (kulia) katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam timu hizo zikitoka sare ya 1-1
Winga wa Simba Shiza Kichuya akimtoka beki wa Lipuli
Kiungo wa Simba, Haruna Niyonzima akimiliki mpira mbele ya kiungo wa Lipuli, Seif Abdallaha Karihe
Beki wa Simba, Mohammed Hussein 'Tshabalala' akiondoka na mpira mbele ya mchezaji wa Lipuli 
Mshambuliaji wa Simba, Mrundi Laudit Mavugo (kushoto) akikimbilia mpira dhidi ya beki wa Lipuli, Mghana Asante Kwasi
Kiungo wa Simba, Jonas Mkude (kulia) akinyoosha mguu kuudhibiti mpira dhidi ya mchezaji wa Lipuli 
Kiungo Shaaban Zubery Ada wa Lipuli (kulia) akipambana na beki Ally Shomari wa Simba 
Kipa wa Lipuli, Agathon Mkwando akiwa amedaka mpira chini, huku akilindwa na mabeki wake  
Kikosi cha Simba SC kilichoanza jana dhidi ya Lipuli 
Kikosi cha Lipuli FC kilichoanza dhidi ya Simba jana
The remarkable moment top-flight footballers collapse as they are told 
their manager, 44, has died mid-match after heart attack in the dug-out
                      -
                    
Radnicki 1923 manager Mladen Zizovic collapsed on the side of the pitch 
after suffering a heart attack 22 minutes into the Serbian club's match 
with Mlados...
12 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment