Riyad Mahrez akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Leicester City bao la pili dakika ya 45 na ushei katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Tottenham Hotspur usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa King Power. Bao la kwanza lilifungwa na Jamie Vardy dakika ya 13, wakati la Spurs lilifungwa na Harry Kane dakika ya 79 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: What Tottenham star Djed Spence REALLY said to manager Thomas
Frank is uncovered by expert lip-reader in furious spat after defeat by
Chelsea
-
Spence and Micky van de Ven stole the headlines when they blanked Frank,
refusing his handshake and leaving him alone on the turf. A worrying sign,
as Oliv...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment