Riyad Mahrez akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Leicester City bao la pili dakika ya 45 na ushei katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Tottenham Hotspur usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa King Power. Bao la kwanza lilifungwa na Jamie Vardy dakika ya 13, wakati la Spurs lilifungwa na Harry Kane dakika ya 79 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester City vs Brentford - Premier League LIVE: Citizens hoping to
close gap on league leaders Arsenal in title race
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Manchester City host Brentford at the Etihad in the Premier
League.
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment