Raheem Sterling akiruka juu kishujaa kushangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la ushindi dakika ya sita ya muda wa nyingeza baada ya kutimia dakika 90 za kawaida ikiilaza 2-1 Southampton Uwanja wa Etihad usiku wa jana katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la kwanz la Man City lilifungwa na Kevin De Bruyne dakika ya 47, kabla ya Oriol Romeu kuisawazishia Southampton dakika ya 75 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
EFCC docks Abuja estate developer for N500m land fraud
-
From Godwin Tsa, Abuja The Economic and Financial Crimes Commission (EFCC)
has arraigned a real estate developer, Mrs Godwin-Isaac Rebecca Omokamo,
also ...
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment