Mshambuliaji kinda wa umri wa miaka 21 wa FC Cologne, Sehrou Guirassy akisujudu kumshukuru Mungu baada ya kuifungia bao pekee timu yake dakika ya 62 kwa penalti katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Arsenal kwenye mchezo wa Kundi H Europa League usiku wa jana Uwanja wa Rhein Energie mjini Cologne, Ujerumani. Arsenal iliingia kwenye mchezo ikiwa tayari imefuzu hatua ya mtoano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
EFCC docks Abuja estate developer for N500m land fraud
-
From Godwin Tsa, Abuja The Economic and Financial Crimes Commission (EFCC)
has arraigned a real estate developer, Mrs Godwin-Isaac Rebecca Omokamo,
also ...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment