Mshambuliaji kinda wa umri wa miaka 21 wa FC Cologne, Sehrou Guirassy akisujudu kumshukuru Mungu baada ya kuifungia bao pekee timu yake dakika ya 62 kwa penalti katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Arsenal kwenye mchezo wa Kundi H Europa League usiku wa jana Uwanja wa Rhein Energie mjini Cologne, Ujerumani. Arsenal iliingia kwenye mchezo ikiwa tayari imefuzu hatua ya mtoano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Google agrees to curb power use for AI data centers to ease strain on US
grid when demand surges
-
NEW YORK, August 4 (Reuters) -Google has signed agreements with two U.S.
electric utilities to reduce its AI data center power consumption during
times of ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment