Olivier Giroud akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 68 na 87 katika ushindi wa 5-0 wa Arsenal dhidi ya Huddersfield Town usiku wa jana Uwanja wa Emirates, London kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya The Gunners yalifungwa na Alexandre Lacazette dakika ya tatu, Alexis Sanchez dakika ya 69 na Mesut Ozil dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Why the AFL doesn't want you to know who this mystery man is
-
The top brass at AFL headquarters won't be impressed after the reason for
the man's presence at several games was revealed on TV on Monday night.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment