Mshambuliaji Robert Lewandowski akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Bayern Munich katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Anderlecht dakika ya 51 Uwanja wa Constant Vanden Stock mjini Bruxelles, ambalo linakuwa la 50 kwa klabu yake msimu huu. Bao lingine la Bayern Munich limefungwa na Corentin Tolisso dakika ya 77 na la Anderlecht limefungwa na Sofiane Hanni dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sheffield Wednesday stars issue desperate plea amid 'extreme concern' over
financial turmoil at striken Championship club - with fears they will NOT
be able to play the opening game of the season
-
In a forthright message the group - hit by ongoing wage delays amid
financial troubles - have also explained their decision to withdraw from
the friendly w...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment