Borja Mayoral akishangilia baada ya kufingia mabao yote mawili Real Madrid dakika za 62 na 70 ikitoa sare ya 2-2 na Fuenlabrada katika mchezo wa Kombe a Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Mabao ya Fuenlabrada yalifungwa na Luis Milla dakika ya 25 na Alvaro Portilla dakika ya 89 na Real inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 4-2 baada ya kushinda 2-0 kwenye mchezo wa kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool 1-1 Chelsea - PLAYER RATINGS: Which Blues defender 'impressed' in
a brand new role? Who took 41 MINUTES to make his first touch? And which
22-year-old star must start showing more?
-
Liverpool and Chelsea played out a 1-1 draw at Anfield on Saturday. Daily
Mail Sport's KIERAN GILL runs the rule over performances in both red and
blue at ...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment