Kaimu Rais wa klabu ya Simba, Salim Abdallah 'Try Again' akifuatili mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baina ya timu yake dhidi ya Lipuli ya Iringa leo Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam ambao ulimalizika kwa sare ya 1-1. Kulia ni mpenzi na mwanachama wa klabu hiyo, Profesa Juma Othman Kapuya, Waziri wa zamani wa Michezo nchini
Kulia ni Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba, Said Tuliy akiwa na Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa klabu hiyo, Hajji Manara
Minnesota visits Seattle, seeks 25th victory this season
-
Minnesota Lynx (24-5, 16-2 Western Conference) at Seattle Storm (16-13, 9-7
Western Conference)
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment