Kaimu Rais wa klabu ya Simba, Salim Abdallah 'Try Again' akifuatili mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baina ya timu yake dhidi ya Lipuli ya Iringa leo Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam ambao ulimalizika kwa sare ya 1-1. Kulia ni mpenzi na mwanachama wa klabu hiyo, Profesa Juma Othman Kapuya, Waziri wa zamani wa Michezo nchini
Kulia ni Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba, Said Tuliy akiwa na Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa klabu hiyo, Hajji Manara
Portugal U19s stun England with second-half comeback
-
Watch highlights as Portugal come from behind to beat England 4-1 in the
Women's U19 European Championship at Stadion OSiR Wisła.
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment