Nyota wa Barcelona, Lionel Messi (kulia) na mchezaji mwenzake, Luis Suarez wakiwalalamikia marefa kuwanyima bao kipindi cha pili usiku wa jana Uwanja wa Mestalla katika mchezo wa La Liga, Valencia. Shuti la Messi lilivuta mstari wa lango, lakini kipa Norberto Murara 'Neto' akaokolea ndani timu hizo zikitoka sare ya 1-1, Rodrigo Moreno Machado alianza kuwafungia Valencia dakika ya 60, kabla ya Jordi Alba kuwasawazishia dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
EFCC: We will never allow relooting of recovered assets again
-
From Noah Ebije, Kaduna Nigeria’s apex anti-graft agency, the Economic and
Financial Crimes Commission (EFCC), has assured Nigerians that it will
never a...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment